HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 6, 2015

SIMU TV: HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI



Mkuu wa wilaya ya Geita awataka madiwani waliochaguliwa hivi karibuni kujenga uhusiano mwema wa kiuntandaji na watumishi wa halmashauri ili kuwaletea maendeleo wananchi. https://youtu.be/1ynKoT77ASg

Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Songea waonyesha matumaini makubwa na raisi mpya katika kubadili mfumo wa utendaji serikalini. https://youtu.be/iOHZUu4XXzU

Mapokezi makubwa yamgonja raisi Dr.Magufuli mkoani Geita huku wananchi wakiwa na amatumaini makubwa juu yake huku wengine wakitoa nasaha zao.https://youtu.be/LNnSnYYy8BU

Wakati raisi mstaafu Jakaya Kikwete ankabidhi madaraka ametoa masamaha kwa wafungwa 4160 nchini kote. https://youtu.be/_68wRnZyaLs

Taifa la Tanzania leo limepata raisi mpya wa awamu ya 5 baada ya Dr.Magufuli kuapishwa na kuanza kazi za kiserikali rasmi hii leo. https://youtu.be/ZtMxPb0k3rs

Wakazi wa Iringa watoa maoni yao juu ya mategemeo kwa raisi wa awamu ya 5 Dr.Magufuli huku wakitoa rai mbalimbali. https://youtu.be/QmUxnIAND80

Wakazi wa visiwa vya Zanzibar wametoa maoni yao kufuatia kuapishwa kwa raisi wa awamu ya 5 Dr.John Magufuli. https://youtu.be/qCFHPanLEVA

Aliwahi kuwa waziri mkuu wa Kenya na kiongozi mkuu wa upinzani wa Kenya aongea machache juu ya raisi wa awamu ya 5 Dr.Magufuli. https://youtu.be/r32j4qsgFno

Baada ya Raisi Kikwete kuhitimisha kipindi chake cha uongozi wa awamu ya 4 raisi huyo mstaafu azumgumzia malengo yake baada ya kustaafu.https://youtu.be/2BMfmtvWSHw

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad