HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 4, 2015

RAIS KIKWETE AMWAPISHA KATIBU TAWALA MPYA WA MKOA WA LINDI

 Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Lindi Bwana Ramadhani Kaswa akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Lindi Bwana Ramadhani Kaswaakipongezwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam jana.
(Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad