HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 17, 2015

KUTOKA BUNGENI DODOMA: MH. JOB NDUGAI ACHAGULIWA KUWA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TNZANIA

Hatimaye Job Yustino Ndugai CCM amechaguliwa kuwa Spika wa bunge la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuchaguliwa kwa kura 254 sawa na asilimia 70% ya kura zilizopigwa akifuatiwa na mgombea wa CHADEMA Goodluck Ole Medeye ambaye amepata kura 109.

Hata hivyo wagombea hao ambao walikuwa 7 kati ya 8 wameweza kutoa shukrani na pongezi kwa Ndugai wakisema anastahili na ndio maana akachaguliwa na kumtaka aongoze vyema bunge hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad