HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 21, 2015

UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 21, 2015.

Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni 
 Oktoba 21, 2015.

Chama Cha soka Jijini Mwanza Kwa kushirikiana na wanamichezo wamefanya mazoezi maalumu  kwaa lengo la kutoa elimu Juu Ya Amani Na Upigaji Kura.  https://youtu.be/Pb-8yIRPV1w
    
Upungufu Mkubwa wa Damu Katika benki ya Hospitali ya Taifa Muhimbili wachangia mrundikano wa wagonjwa hasa wa upasuaji. https://youtu.be/zhI0gAASoSo
    
Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi toka Jumuiya Ya Afrika Mashariki EAC imezinduliwa jijini Dar na kuahidi kufanya kazi kwa kufuata misingi ya Sheria za nchi. https://youtu.be/mJv-qJF7p_0

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wameendelea na uhakiki wa majina yao katika daftari la wapiga kura huku baadhi ya makaratasi kuchanywa. https://youtu.be/dO23f6qH184

Ligi Kuu soka Tanzania Bara Inatarajiwa kuendelea leo ambapo Klabu Ya Yanga itamenyana na Toto Africans Ya Mwanza uwanja wa Taifa Dar. https://youtu.be/Qy6kNPakAKo

Kutana na mabalozi wa amani Christina Shusho pamoja na Mrisho Mpoto  wakizungumzia swala zima la amani kuelekea uchaguzi mkuu;  https://youtu.be/6WJLNbNd3L8

Je uwepo wa viwanja vipya  utasaidia kukuza vipaji katika michezo mbalimbali nchini? Fuatilia mjadala hapa;https://youtu.be/Zb9Xt-C6hWc

Leo hii katika mjadala wachambuzi wanaangaliza habari kuu zilizopewa vipaumbele katika taarifa za habari; https://youtu.be/xKyPA5UdOqo
Je ahadi za wagombea zinazotolewa kwenye majukwaa zinatekelezeka? Fahamu zaidi kupitia mjadala wa leo; https://youtu.be/6WYVHA9qnJc

Fahamu chama cha  APPT Maendeleo na mikakati ya chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika jumapili tareh 25 Octoba, https://youtu.be/Iq7qQpu4x70

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad