HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 19, 2015

SHANGWE YA COKE STUDIO YAENDELEA MASHULENI

Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Sunrise ya mjini Mwanza Janeth Malima akionyesha kipaji cha kucheza kwenye tamasha la Coke Studio lililofanyika shuleni hapo.

Wanafunzi wa shule za sekondari za Bwiru na Sunrise wakionyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba wakati wa tamasha la Coke studio.
Wanafunzi wakifuatilia burudani za tamasha la Coke Studio wakiburudika na kinywaji cha Coca-Cola

Mwanza,Dar,Mbeya na Arusha waonyesha vipaji vyao  vya kuimba
Msimu wa Coke studio mwaka huu ambao unajumuisha kolabo ya wanamuziki wa Tanzania na  wanamuziki kutoka nje ambao umezinduliwa mapema wiki iiyopita unazidi kuleta burudani katika makundi mbalimbali ya jamii ambao wanafunzi wa sekondari wamepata fursa ya kushiriki na kuonyesha vipaji vyao vya kucheza na kuimba.


Katika matamasha yaliyofanyika mwishoni mwa wiki  katika mikoa  ya Arusha,Mbeya,Mwanza na  Dar es Salaam wanafunzi kutoka shule mbalimbali waliweza kushiriki burudani za matamasha ya Coke studio na kuonyesha vipaji vyao vya kuimba na kucheza.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad