SEKELA IRENE MULUNGU (Pichani)
 Mama yetu kipenzi, ni miaka kadhaa sasa imepita tokea ulipotuacha wapweke hapa duniani, kumbukumbu ya marehemu mama yangu aliyefariki tarehe (14thOktoba,1998).
Tunakukumbuka na tutaendelea kukuenzi kipenzi chetu. Unakumbukwa na wanao wapendwa,Juliana,Jane,na Jeremiah.Unakumbukwa na bibi,mama wadogo,wajomba,wajukuu,wakwe, ndugu,jamaa na marafiki.


No comments:
Post a Comment