HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 13, 2015

DK.SHEIN AKUTANA BALOZI WA URUSI NCHINI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na mgeni wake  Balozi wa mpya wa Urusi Mhe,Yuri F.Popov katika Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania baada ya kujitambulisha leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana  na mgeni wake  Balozi wa mpya wa Urusi Mhe,Yuri F.Popov katika Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania baada ya mazungumzo yao alipofika kujitambulisha leo Ikulu Mjini Zanzibar.
[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad