HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 15, 2015

MTAA KWA MTAA NA TASWIRAZZ MBALIMBALI KATIKA MATUMIZI YA SIMU MTAANI...

Kamera ya mtaa kwa mtaa na mionekano mbalimbali ya matumizi ya simu kama aonekanavyo mama huyo juu katika taswira akitumia mbinu mmbadala katika uwandikaji wa nambari ya simu anayo tajiwa kutoka kwa mtuu anae mtajia kupitia simu yake..na Mtaa Kwa Mtaa blog.
"|Umesema sifuri sabaaa......"
"Tano nnee eeeee ..... ahaa Tano Sitaaa eehee.."
"Mbona sikuelewi elewi aumtandao unasumbua nini eehhh....duu ....Sikusikii Kabisaaa."
Huyu nae akiwasiliana vyema na mtu anee ongea naye kwa simu yake ya mkononi kama aonekanavyo hapo ili asikike vizuri lazima simu yake iwe mdomoni....
Hapa zamu yake kusikiliza sasa...
Masai nae akiagiza sime kupitia simu ya kiganjani..
Hapo sasa amani ipo kwa masai baada ya majibu mazuri kutoka kwa mtu alie kuwa akimpatia maagizo kuongea nae kwa kuridhika bira kifurushi kukata wala nini ..... masai umetishaa..

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad