HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 11, 2015

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA BARAZA LA WATUMIAJI WA USAFIRI WA ANGA HAPA NCHINI.

 Naibu Katibu wa wizara ya uchukuzi Monica Mwamnyange akizungumza na waandishi wa habari  kuhusiana na uzinduzi wa Baraza la watumiaji wa huduma za usarifishaji wa Anga hapa nchini mara baada ya kutoka kwenye mkutano uliofanyika katika Hotel ya New Africa jijini Dar es Salaam leo.
 Katibu mtendaji wa Baraza la watumiaji wa usafiri wa anga hapa nchini Hamza Johari akizungumza na waandishi wa habari  kuhusiana watumiaji wa usafiri wa anga kutokuweka vitu vya thamani kubwa kwenye mabegi yao wakati wa kusafiri katika mkutano uliofanyika katika Hotel ya New Africa jijini Dar es Salaam leo.
Picha ya pamoja ya wafanyakazi wa Baraza la watumiaji wa usafiri wa anga hapa nchini.(PICHA NA EMMANUEL MASSAKA.)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad