Bata binti mapozi nae eti anatangaza nia ya kugombea, kutokana na bata wengi kudharauliwa kupewa sifa mbaya za uchafu na wengi katika jamii kuliwa kwa nadra kutokana na uadimu wao na pia vijana wengi wa mjini hutumia jina la bata katika starehe zao kwa kusema ni "mwendo wa kula bata tuu, mpaka kuku aone wivu." hivyo basi kwa vigezo hivyo alivyo tudokeza bata binti mapozi amesema Amejitasmini, Ametafakari, Amejiamini na Anaweza anawataka wote mumuunge mkono kugombea uuuuuu........................??
hili ni moja ya pozz la bata huyo eee bata jicho jicho....
bata guu bana...
hili ni pozz la kujisikia baridi kuendana na mazingira pindi atakapo anza kutafuta wazamini mbugani....
No comments:
Post a Comment