Jengo kuu la  Chuo  cha Afya na Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu cha Chuo Kikuu cha Dodoma  mjini Dodoma.
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa 
Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Shaaban Mlacha na Makamu Mkuu wa Chuo 
hicho Profesa Idris Kikula (tai nyekundu) alipofanya ziara ya ghafla 
kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya Chuo  cha Sayansi ya  Afya na 
Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu cha chuo hicho mjini Dodoma Ijumaa 
Oktoba 3, 2014. Alikuta ujenzi umeshakamilika na kilichobaki ni uwekaji 
wa samani na vifaa vya kufanyia kazi ili kitovo hicho kianzi kazi rasmi 
hivi karibuni.
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa sehemu mbalimbali na  Naibu 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dododma Profesa Shaaban Mlacha (mbele) na 
Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Idris Kikula (kulia) alipofanya ziara 
ya ghafla kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya Chuo  cha Sayansi ya
 Afya na Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu cha chuo hicho mjini Dodoma 
Ijumaa Oktoba 3, 2014. Alikuta ujenzi umeshakamilika na kilichobaki ni 
uwekaji wa samani na vifaa vya kufanyia kazi ili kitovo hicho kianzi 
kazi rasmi hivi karibuni.
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa maelekezo kwa  Naibu Makamu Mkuu wa 
Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Shaaban Mlacha na Makamu Mkuu wa Chuo 
hicho Profesa Idris Kikula (tai nyekundu) alipofanya ziara ya ghafla 
kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya Chuo  cha Sayansi ya Afya na 
Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu cha chuo hicho mjini Dodoma Ijumaa 
Oktoba 3, 2014. Alikuta ujenzi umeshakamilika na kilichobaki ni uwekaji 
wa samani na vifaa vya kufanyia kazi ili kitovo hicho kianzi kazi rasmi 
hivi karibuni.
 Sehemu ya majengo ya Chuo  cha Sayansi ya Afya na Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu ya UDOM
 Sehemu ya barabara ya lami ya kutoka na kuelekea vyuo mbalimbali vya UDOM
 Mhe. Baraka Konisaga, ambaye ni Mjumbe wa Kikao cha kazi cha viongozi wa Mikoa, Wilaya na Halmashauri nchini akitoa rais binafsi muda mfupi kabla Rais Jakaya Mrisho Kikwete hajafunga rasmi kikao hicho cha siku tatu kilichojumuisha wajumbe zaidi ya 900 kuzungumzia sekta ya elimu ili  kupanga mikakati na kutatua changamoto zinazoikabili, katuika ukumbi wa Chimwaga katika Cho Kikuu cha Dodoma mjini Dodoma Ijumaa Oktoba 3, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunga rasmi Kikao cha kazi cha viongozi wa Mikoa, Wilaya na Halmashauri nchini katuika ukumbi wa Chimwaga katika Chuo Kikuu cha Dodoma mjini Dodoma.









No comments:
Post a Comment