HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 14, 2014

Group la Kandanda katika Mtandao wa Facebook kuadhimisha miaka mitano ya uwepo wake

Group  la Kandanda katika Mtandao wa Facebook tarehe 25/10/2014 litakuwa likitimiza miaka 4 tangu kuanzishwa ndani ya facebook.

Kuadhmisha siku hiyo, Members wa Kundi hilo wametengeneza timu ambazo ni #TeamDizomoja na #TeamIsmail, ambazo zitachuana siku hiyo katika viwanja vya TCC Sigara-Chang’ombe.

Timu hizo zote mbili zimekuwa na maandalizi ya Takribani Miezi miwili sasa, na usajili ulishafungwa tarehe 11/10/2014.

Sherehe hizo zinatarajiwa kuanza saa 3 Asubuhi ikifuatiwa na Offline Socializition ya members wa kundi hilo ambao hutumia 24/7 kujadili masuala ya soka katika Facebook.

Kamati ya maandalizi inawakaribisha wanakandanda wote kwa makabila (Timu) tofauti popote mlipo katika viwanja hivyo vya TCC Sigara, usisahau Jezi yako tuu! Ndicho kitambulisho cha Kabila zetu (timu zetu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad