
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akimkabidhi kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa (TAPA),Amos Kafwinga zawadi zitakazo kabidhiwa kwa washindi wa fainali ya mashindino ya Safari National Pool Competition 2014 zinazotarajiwa kufanyika mkoani Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.
Meneja
wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa
habariu (hawapo pichani) wakati wa kutangaza zawadi na maandalizi ya
fainali za mashindino ya Safari National Pool Competition 2014
zinazotarajiwa kufanyika mkoani Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.Kulia ni
Katibu Mkuu wa Chama cha Pool Taifa (TAPA),Amos Kafwinga.
No comments:
Post a Comment