HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 24, 2014

Kampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar

Mwenyekiti wa bodi wa Resolution Insurance, Richard Kasesela (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa tawi jipya la Karikoo la kampuni hiyo uliofanyika Dar es Salaam leo.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Oscar Asir na Mkurugenzi wa Utoaji Bima ya Afya wa Kampuni hiyo, Leonard Chacha.
Mkurugenzi wa Kampuni Resolution Insurance, Oscar Asir (kushoto) akiwaelekeza mandhali ya ofisi ya tawi jipya la ofisi hiyo iliyopo Lumumba Kariakoo,Mwenyekiti wa bodi wa kampuni hiyo, Richard Kasesela (kulia) na Mkurugenzi wa Utoaji Bima ya Afya wa Kampuni hiyo, Leonard Chacha. 
Mwenyekiti wa bodi wa Resolution Insurance, Richard Kasesela(katikati), Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Oscar Asir na Mkurugenzi wa Utoaji Bima ya Afya wa Kampuni hiyo, Leonard Chacha wakikata keki kuashilia uzinduzi wa tawi jipya la kampuni hiyo lilipo mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Resolution Insuarance wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad