BOFYA READ MORE HAPO CHINI KUSHOTO KUJIFAIDIA MAPICHAZZZ
Usalama wa Afya pia ulikuwepo kuhakikisha Huduma ya Kwanza inapatikana kwa Majeruhi,.
Majeruhi wa timu ya NMB akipewa huduma ya Kwanza.
Ugali
Sehemu ya Mashabiki wa timu zote mbili.
Kocha wa timu ya Bunge akitoa maelekezo kwa wachezaji wake,

Wachezaji
wa akiba na Mashabiki wa timu ya NMB wakishangilia Goli la Nne
lililofungwa na Mchezaji namba 9 Mgongoni(Hayupo pichani).
Kocha wa timu ya NMB akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Mpira wa pete wakiwa wanapumzika baada ya Kuibamiza timu ya Wanawake ya NMB Magoli 46 kwa 6.
Picha/Maelezoz na Sanga Jr.
No comments:
Post a Comment