HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 8, 2014

MAMA REGINA LOWASSA ASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA KWAKE LEO

Mke wa Waziri Mkuu Msaafu (Mh. Edward Lowassa),Mama Regina Lowassa (kushoto) akimsikiliza kwa makini Dada yake mkubwa wakati akizungumza machache kwenye hafla fupi ya kusherehekea kuadhimisha miaka 60 ya kuzaliwa kwake iliyofanyika leo nyumbani kwake,Masaki jijini Dar es salaam.
Mama Regina Lowassa akiwa na Marafiki zake wakati hafla hiyo ikiendelea.
Mama Regina Lowassa akipokea zawadi ya Kitabu kutoka kwa mmoja wa Marafiki zake waliohudhulia hafla hiyo.
Watoto wa Mh. Edward na Mama Regina Lowassa,Adda (kushoto) na Pamela Lowassa wakiimba wimbo maalum wa kumpongeza Mama yao kwa kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake.
Waziri Mkuu Msaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akisoma shairi alilolitunga mwenyewe,ikiwa ni sehemu ya pongezi kwa Mkewe Mama Regina Lowassa kutimiza Miaka 60 ya kuzaliwa kwake.
Mama Regina Lowassa akikata keki.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad