HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 16, 2014

HACKERS WAIBA AKAUNTI YA FACEBOOK YA MEYA WA ILALA JERRY SILAA

Napenda kuwajulisha marafiki zangu wote kwamba akaunti yangu ya facebook ime-hackiwa na kuanza kutuma ujumbe kwa marafiki zangu kuwataka waingie kwenye link kwani nina maongezi ya siri.

Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa.

Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.

Jerry Silaaa

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad