Kamera ya Mtaa kwa Mtaa katika pita pita zake za kila siku,liliweza kuibuka maeneo ya Faya Kariakoo,jijini Dar na kuinasa taswira hii ya wazee wa kazi wakitabaruku kwa mbonji mwanana kabisa,chini ya kibambaza cha kituo cha mabasi yaendayo kasi kilichopo kwenye eneo hilo.
Wednesday, May 7, 2014

Home
Unlabelled
mbonji la mchana lilivyowanogea jamaa hawa
mbonji la mchana lilivyowanogea jamaa hawa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment