Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwa na baadhi ya waandishi wa
habari watakaoungana na Katibu Mkuu wa CCM, Andulrahman Kinana, katika
ziara ya siku 26 katika mikoa ya Tabora, Singida na Manyara itakayoanza
kesho katika jimbo la Igunga mkoani Tabora. Nape alipigapicha na na
waandishi hao leo baada ya kuzungumza nao kuhusu ziara hiyo, katika
Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba , Dar eSalaam. Kulia
na kushoto ni baadhi ya magari maalum yatakayotumiwa na waandishi hao.
Wednesday, May 7, 2014

Home
Unlabelled
KATIBU MKUU WA CCM KUANZA ZIARA YA SIKU 26 MIKOA YA TABORA, SINGIDA NA MANYARA
KATIBU MKUU WA CCM KUANZA ZIARA YA SIKU 26 MIKOA YA TABORA, SINGIDA NA MANYARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment