HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 27, 2014

FRANCIS GODWIN BLOG YAREJEA HEWANI

Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::
Uongozi  wa mtandao  wa www.francisgodwin.blogspot.com unapenda  kuwaomba  radhi  wadau  wake  kutokana na usumbufu mkubwa  uliojitokeza kwa kipindi cha  zaidi ya  wiki moja  sasa kwa mtandao huo kutokuwepo hewani ,ila tunapenda  kuwataarifa  kuwa  kuanzia leo mtandao huo wa francisgodwinblog upo hewani hivyo endelea  kupata habari na matukio mbali mbali kama  ilivyokuwa awali kwa  kutembelea hapa www.francisgodwin.blogspot.com na www.mwandishiwetu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad