HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 28, 2014

MAKAMPUNI 37 YASHIRIKI MAONYESHO YA SIKU YA MALARIA NCHINI

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid akipata maelezo wakati alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya malaria nchini yaliyofanyika mwishoni mwa wiki,jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la NMCP kwenye maonyesho ya siku ya malaria jijini mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa kampuni ya Frontline Porter Novelli Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Wafanyakazi wa Tanzania Breweries Limited (TBL) wakiwa kwenye banda lao kuhamasisha kupambana na ugonjwa wa malaria nchini.
Wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi Zantel wakiwa kwenye banda lao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad