HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, February 2, 2014

NAIBU WAZIRI MAJI ARIDHIKA NA MRADI WA VISIMA VIREFU MPERA NA KIMBIJI

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala mwishoni mwa wiki aliendelea na ziara ya siku tano ya kuangalia miradi ya maji jijini Dar es Salaam na Pwani, ambako alifika Kimbiji na Mpera kuangalia mradi wa visima virefu vya maji.
Mkurugenzi wa DAWASA, Archad Mutalemwa akimuonyesha Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala ramani na mpango wa uchimbaji wa visima vya Kimbiji na Mpera.
Mkurugenzi wa DAWASA, Archad Mutalemwa akimuonyesha Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala kisima cha Mpera.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala akisikiliza maelezo kutoka kwa Inj. Romanus Mwang’ingo wa DAWASA (kushoto ktikati) katika kisima cha Kimbiji na Mkurugenzi wa DAWASA, Archad Mutalemwa (katikati) akisikiliza.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala akifungua maji katika mradi kisima cha Kimbiji, akiwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Kichangani, Mbegu Miraji.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala akisikiliza maelekezo kutoka kwa Mkandarasi kuhusu kisima cha Kimbiji.
Mradi wa maji wa kisima cha Kimbiji chenye mita 600 kikiwa katika mchakato wa kuchimbwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad