Katika pita pita zangu za kuendeleza libeneke la Mtaa kwa Mtaa,nilibahatika kumnasa mdau huu katika maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam akichimba Dawa (kujisaidia haja ndogo) huku akiwa hana noma wala nini tena mchana kweupeeeee.Sasa hapo ndipo nilipojiliza kuhusu ule utaratibu wa kupiga marufuku vitendo vya namna hii,kwamba vinatumia mikoani tu??
Tuesday, February 25, 2014

Home
Unlabelled
HIVI ULE UTARATIBU WA KUZUIA WATU KUCHIMBA DAWA HOVYO HOVYO,HAUTUMIKI HAPA DAR??
HIVI ULE UTARATIBU WA KUZUIA WATU KUCHIMBA DAWA HOVYO HOVYO,HAUTUMIKI HAPA DAR??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment