HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 10, 2013

Utaratibu waliojiwekea wamachinga wa Mombo Mkoani Tanga ni Mzuri na Unafaa kuigwa na wengine

  Wafanyabiashara ndogo ndogo eneo la Mombo Mkoani Tanga,wamejiwekea utaratibu mzuri sana kwa Biashara zao kwani wameamua kubuni utaratibu wa kuvaa zare na zenye namba ili kimrahisishia mteja kujua mtu aliemuhudumia hata kama inatokea ametoeka katika mazingira ya kutatanisha inakuwa ni rahisi kutambulika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad