HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 9, 2013

mambo ya kumeremeta hayo mjini Moshi

 Juzi kati hivi huko mitaa ya Moshi,Kamera yetu ilibahatika kupata Taswirazz ya Kumeremeta kwa Mtoto wa Kibopa Mmoja mjini humo,ambapo kiukweli kabisa kumeremeta huki kulikuwa ni kwa aina yake hasa pale gari la maharusi lilipokuwa nikilinda na watu waliokuwa wakitukia usafiri wa Farasi.
Ilikuwa ni Gumzo mjini hapo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad