Wadau wa Afrika Kusini wakiwa katika harakati za kuusafirisha mwili wa msanii wa kizazi kipya aliyefariki Dunia huko nchini Afrika ya Kusini hivi karibuni,marehemu Albert Mangwear jioni hii huko Johannesburg, Afrika Kusini. Ratiba zinaonesha mwili huo utawasili kesho jijini Dar es salaam. Muda na ratiba kamili zitafuata punde.
Monday, June 3, 2013

Home
Unlabelled
Mwili wa Msanii Albert Mangwea kuwasili nchini kesho
Mwili wa Msanii Albert Mangwea kuwasili nchini kesho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment