HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 25, 2013

Warembo wa Kigamboni wapewa Somo na Miss Tanzania wa Zamani

Warembo wa Miss Kigamboni 2013 wakipewa somo na Miss Tanzania mwaka 1999,Hoyce Temu wakati alipowatembelea kwenye kambi yao kwa lengo la kuwafunda warembo hao,Hoyce aliwaaambia warembo hao mambo mbali mbali kuhusiana na masuala ya urembo likiwemo suala la nidhamu na kujitambua katika jamiii. Shindano la miss kigamboni litafnyika juni 7 mwaka huu,huko Kigamboni jijini Dar.
Miss Tanzania mwaka 1999,Hoyce Temu (wa pili kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Warembo wa Miss Kigamboni 2013.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad