HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 15, 2013

Redd's Miss Ustawi wa Jamii kufanyika Mei 17

Walimbwende wanaowania taji la Redd's Miss Uswawi wa Jamii 2013,wakiwa wameweka pozi kwenye picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na shindano lao hilo linalotarajia kufanyika Ijumaa hii (mei 17,2013) katika Ukumbi wa SunSirro,Sinza jijini Dar es Salaam huku wakisindikizwa na Malkia wa Mipasho Tanzania,Bi. Khadija Kopa na Msanii wa Bongo Fleva,Barnaba.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad