HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 14, 2013

REDD'S MISS UBUNGO 2013 MAMBO YAMEIVA

Baadhi ya washiriki wa Shindano la Redd's Miss Ubungo 2013 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao jana. Warembo hao wanataraji kupanda jukwaani Ijumaa ya Mei 17, mwaka huu katika Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza jijini Dar es Salaam na kusindikizwa na kundi zima la FM Academia wazee wa Ngwasuma.(Picha na Mpigapicha wetu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad