HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 2, 2013

Redd's Miss Mzizima mambo yaanza kupamba moto

 Warembo wa Redd's Miss Mzizima 2013 wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya mazoezi yao ya kila siku kujiandaa kuwania taji hilo hapo Mei 17,2013 katika Ukumbi wa Hoteli ya Lamada,Ilala jijini Dar es Salaam.Warembo hawa wamejipanga kisawasawa huku kila mmoja akionyesha hali ya kuibuka kidedea siku hiyo.
Mwalimu wa Warembo wa Redd's Miss Mzizima 2013,Aneth John akitoa somo kwa Warembo wake mara baada ya kumaliza mazoezi ya awaki katika kambi yao iliopo katika Hoteli ya Lamada,Ilala jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad