HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 6, 2013

Mvua yazidi kuharibu barabara Makete

Hii hali nimekutana nayo ghafla wakati naenda kanisani asubuhi, hali ndivyo ilivyo katika kijiji cha Ujuni wilayani makete baada ya fuso hiyo kukwama kutokana na ubovu wa barabara eneo hili, jitihada za kuitoa fuso hiyo zilikuwa zinaendelea hadi naondoka hali ilikuwa bado tete, fuzo ilikuwa imekwama
Mmoja wa wahusika wa Gari hilo akihangaika namna ya kuinasua kwenye tope lori hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad