HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 7, 2013

MH. PINDA AWAFARIJI WALIOJERUHIWA KWENYE TUKIO LA BOMU JIJINI ARUSHA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapa pole baadhi ya majeruhi wa bomu la kutupwa kwa mkono lililolipuka katika kanisa Katoliki la Olasiti Arusha wakati alipowatembelea kwenye hospitali ya mkoa wa wa Arusha, Mount Meru, May 8,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad