HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 6, 2013

Mchakato wa Kupigia Kura wanamuziki kwenye Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 waanza

 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya zoezi la upigaji kura kwa wamamuziki wanaowania tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 zilinazoelndelea kupigwa kupitia mitandao ya simu na intanet,wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya zoezi la upigaji kura kwa wamamuziki wanaowania tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 zilinazoelndelea kupigwa kupitia mitandao ya simu na intanet,wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Wengine pichani toka kulia ni Mkurugenzi Idara ya Ukuzaji Sanaa BASATA, Vivian Nsao Shalua,Mratibu wa Tunzo za Muziki Tanzania wa Kutoka BASATA,Angelo Luhala pamoja na Muwakilishi wa Inovex,Lloyd Zhughu.
Muwakilishi wa Inovex,Lloyd Zhughu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari juu ya namna kura zitakavyokuwa zikihesabiwa.
Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo kwenye mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad