HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 11, 2013

mambo yaanza pamba moto Redd's Miss IFM 2013

Meneja wa Kinywaji cha Redd's Victoria Kimaro katikati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaa juu ya maandalizi ya shindano la Redd's Miss IFM 2013.
Mratibu wa Redd’s Miss IFM, Daniel Sarungi katika akizungumza na waandishi wa Habari jijini dar es salaam juu ya shindano la Redd's IFM linalotarajiwa kufanyika May 25,2013, kulia ni meneja wa Kinywaji cha Redd's Victoria Kimaro.
Warembo wa Redd’s Miss IFM wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad