HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 29, 2013

Kuuliza si Ujinga,maana mambo yenyewe yanabadilika kila simu

Eti kwa wale wenye utaalam wa mambo ya usalama Barabarani,ukiona kibao kimekaa namna hii huwa kinamaanisha nini??maana sie wengine mambo ya vibao vya namna hii huwa tunatoka kapa kila siku.Hiki kibao nimekiona pale Namanga,karibu kabisa na mataa ya st. Peter.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad