Katika pita pita zangu za kama kama kama dawa,nilikatiza mtaa huu maeneo ya Mikocheni A na kukutana na hili ambali mpaka sasa jibu lake sijaweza kulipata,maana nikiangalia kwa makini mchoro uliopo kwenye kibao hiki sioni kabisa kama kuna sehemu umeonyesha kuweka vitu kama vinavyoonekana hapo chini.sasa sijui aliefanya kitendo hiki aliwaza nini??
Wednesday, January 23, 2013
Home
Unlabelled
Hivi huu Mchoro unaoonekana kwenye kibao hiki,Ndio unamaanisha kinachoonekana chini hapo??
Hivi huu Mchoro unaoonekana kwenye kibao hiki,Ndio unamaanisha kinachoonekana chini hapo??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment