HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 15, 2012

wanyange wa Redd's Miss World Tanzania 2012 wakiwa kambini

Washiriki wa shindano la Redd's Miss World Tanzania 2012 wakiwa kwenye kambi yao iliyopo kwenye Hotel ya Kitalii ya Giraffe jijini Dar Es Salaam tayari kwa shindano lao la jumamosi hii kumpata mwakilishi wa Taifa.Warembo hao ni Gloryblaca Mayowa (Lindi),Hamisa Hassan (Kinondoni),Queen Saleh (Ilala),Christine Willium (Iringa),Pendo Laizer (Arusha),Lisa Jensen (Mara),Mwajuma JUma (Tmk),Neema Saleh (Ilala),Jeneffer Kalolaki (Ilala) pamoja na Stella Mbuge (Kinondoni).Picha ya chini (katikati) ni Miss Tanzania 2011,Salha Israel.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad