HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 8, 2012

Lete Leseni yako........

Askari wa Usalama barabarani akimtaka dereva wa Daladala hili kumpatia leseni yake ili aweze kuikagua kutokana na uzembe wa dereva huyo wa kusimama karikati ya makutano ya mtaa wa Azikiwe na Jamhuri kwa lengo la kupakia abiria,huku magari mengine yakiwa yamesimama kusibiri Daladala hilo liondoke.

1 comment:

Post Bottom Ad