HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 1, 2012

KILIMANJARO TAIFA STARS WAENDELEA KUJIFUA JIJINI ABIDJAN

Kocha wa timu ya Soka ya Taifa ya ‘Kilimanjaro Taifa Stars’, Kim Poulsen akiwapa mazoezi ya viungo wachezaji wa timu hiyo kwenye uwanja wa kituo cha Michezo mjini Abidjan kujiandaa na michuano ya mchujo wa kucheza kombe la Dunia dhidi ya Ivory Coast. Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny.
Wachezaji wa timu ya Soka ya Taifa ‘Kilimanjaro Taifa Stars’ wakijifua kwenye Uwanja wa kituo cha Michezo mjini Abidjan kujiandaa na mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia dhidi ya Ivory Coast inayotarajiwa kufayika kesho kwenye uwanja wa Felix Houphouet-Boigny.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad