Duh thtz jokin' hiyo si roundabout hahaha maajabu ya Tanzania kweli ajari hazitakwisha madereva hawajui roundbouts rules au ukichaa 2..hongera kwa taswira unique ya makosa ya barabarani umeweka kwenye media wahusika wanaona na watanzania wote wanaona lkn wanaishia kucheka 2 hakuna hatua inayochukuliwa.
yaani hapa gari imeharibika kwenye 'Keep left' sasa hawa jamaa wa hiace na bajaji wamerahisisha safari yao kwa 'keep right' ambapo ni hatari sanaaa
ReplyDeleteDuh thtz jokin' hiyo si roundabout hahaha maajabu ya Tanzania kweli ajari hazitakwisha madereva hawajui roundbouts rules au ukichaa 2..hongera kwa taswira unique ya makosa ya barabarani umeweka kwenye media wahusika wanaona na watanzania wote wanaona lkn wanaishia kucheka 2 hakuna hatua inayochukuliwa.
ReplyDelete