HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 4, 2012

Alama ya Mjini

Kuna wimbo mmoja aliimwa mwanamuziki wa Bongo Fleva,afahamikae kwa jina la Khamis Mwinjuma a.k.a Mwana FA kuwa alama kubwa ya Mjini ni NYUMBA HAIUZWI NA OGOPA MATAPELI na leo katika pita pita zangu nikakutana na moja ya Nyumba zenye maandishi ya namna hiyo na ndio nimeona nilete hapa ili wengi tuifahamu hii alama ya Mjini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad