Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza akiruka daruga la kiungo wa Polisi Dodoma, Idd Ramadhani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-1.
Sunday, April 22, 2012

Home
Unlabelled
Yanga yaitungua Polisi Dodoma bao 3-1 taifa leo
Yanga yaitungua Polisi Dodoma bao 3-1 taifa leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment