HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 20, 2012

wapiga viraka mzigoni barabara ya msasani

kamera yetu iliwanasa mafundi hawa ambao ni wataalam wa kuziba viraka vya barabarani,wakiwa bize na kazi ya kuziba viraka barabara ya msasani ambavyo mpaka sasa havijazibika viruzi.sasa sijui walikuwa wanaziba nini??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad