HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 19, 2012

Pombe kweli Si Chai

Kamera ya Mtaa kwa Mtaa imemnasa mjamaa huyu maeneo ya Msasani akiwa ameuchapa usingizi kana kwamba yupo nyumbani kwake tena kwenye Godoro la Dodoma,baada ya kuukata ulabu maeneo ya jirani na huko.hali hii inalidhihirisha lile neno la wahenga kwamba pombe si chai.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad