HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 7, 2012

breaking nyuzzzzz: Steven Kanumba hatunaye tena

Habari iliyotufikia usiku huu toka vyanzo mbali mbali vya uhakika,inaeleza kuwa muigizaji wa tasnia ya filamu nchini,Steven Kanumba amefariki Dunia Ghafla usiku huu akiwa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili.

taarifa kamili itawajia baadae,hivyo tuvute subira.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad