Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa shambani kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Shamba hilo ni la manyasi ya kulishia mifugo kwa njia ya kisasa (zero grazing), akiwa ni mmoja wa wafugaji kijijini hapo. Rais Kikwete, ambaye aghalabu hutumia muda wake wa likizo shambani kwake, pia analima pia mananasi ambayo hustawi vizuri katika wilaya hiyo.PICHA NA IKULU.
Sunday, February 19, 2012

Home
Unlabelled
Rais Kikwete katika shamba lake la manyasi ya kulishia mifugo kijijini Msoga
Rais Kikwete katika shamba lake la manyasi ya kulishia mifugo kijijini Msoga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment