Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wawakilishi wa kundi moja la wachuuzi (machinga) wa jijini Mwanza ambao leo January 6, 2012 walikwenda Ikulu ndogo ya jiji hilo na kumweleza changamoto zinazowakabiri, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa mitaji pamoja na taaluma ya kufanyia biashara. Rais Kikwete ametoa milioni 10 kwa ajili yawamachinga hao kukopeshana mitaji.PICHA NA IKULU.
Monday, February 6, 2012

Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAWAKILISHI WA WAMACHINGA MWANZA, AWAPIGA JEKI YA MILIONI 10 KAMA MTAJI WA KUKOPESHANA
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAWAKILISHI WA WAMACHINGA MWANZA, AWAPIGA JEKI YA MILIONI 10 KAMA MTAJI WA KUKOPESHANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment