HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, February 5, 2012

Kamera ya Mtaa kwa Mtaa na matukio mbali mbali ya jijini Arusha

Mambo yalivyo ndani ya Soko Kuu la Arusha.
Mwanadada ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa amepanga biashara yake ya Viati katika barabara ielekeayo stendi kuu ya Mabasi jijini Arusha.
Bidhaa zikipelekwa dukani.
Stendi la Madaladala ilivyopendeza.
Msela akiwa kijiweni huku akichati kwa BBM.
Hawa nao kwa kuharibu hali ya hewaaaa......
 Bi.mkubwa akijitafutia rizki kwa kuchoma mahindi na kuuza.
Hii sijui tuiiteje??

1 comment:

  1. Asante sana kwa mapichaz, kwa kuturudisha nyumbani...wengine tukiwa Ugaibuni tukinyukwa na baridi na barafu kwa wingi. Walau nikiangalia picha hizi nzuri nakumbuka nyumbani.

    Asante Mkuu.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad