Wanafunzi wa Shule za Msingi Ndugumbi na Mwalimu Nyerere, Magomeni,Dar es Salaam, wakiandamana katika Barabara ya Kawawa, kuishinikiza Wakala wa Barabara wa Serikali (TANROADS), kuweka matuta barabarani, kufuatia wenzao wawili kugongwa na magari kunakosababishwa na mwendo kasi katika eneo hilo.Picha na Hamisi Magendela
Saturday, January 28, 2012

Home
Unlabelled
WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI JIJINI DAR WAANDAMANA
WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI JIJINI DAR WAANDAMANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment