Matina Nkulru ambaye anapiga Mzigo Vodacom Tanzania
Barthazary Ponera yeye anapiga Mzigo InterGrated Communication LTD.
Hawa ni baadhi tu ya wadau ambao wanasherehekea siku zao za kuzaliwa leo ,hivyo Mtaa kwa Mtaa Blog inapenda kuwatakia kila la kheri na maisha marefu wadau hawa na wengine wengi waliozaliwa siku kama ya leo.



No comments:
Post a Comment